Mark 8:11-12

Mafarisayo Waomba Ishara

(Mathayo 12:38-42; 16:1-4)

11 aMafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni. 12 bAkahuzunika moyoni, akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka ishara? Amin nawaambieni, hakitapewa ishara yoyote.”
Copyright information for SwhNEN